Thumbnail Bwana YESU asifiwe......, naamini nyote ni buheri wa afya njema. Mimi binafsi ninamshukuru mwenyezi Mungu kwa rehema na nehema zake kwangu!....ni siku chache tu zimesalia kabla mwana kondoo (YESU KRISTO) kwenda kufanyiwa mateso makubwa na makali kwa ajili ya dhambi zangu na zako.
Kwa hakika mtu wa Mungu huu ni muda wa wewe na mimi kurekebisha njia zetu na kurudi  kundini.
Fikiri kama bwana Yesu hakujitolea kubebe dhambi zetu ingekuwaje. tusikubali kurudi Misiri bali tung'ang'ane kuelekea KANANI. Nawatakia Pasaka njema. JESUS is GRATE...!!!!                                         (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top