CHELSEA

BENITEZ mwenye umri wa miaka 54, anatarajia kutembelea
jiji la LIVERPOOL kwa mara ya
kwanza akiwa na klabu yake mpya CHELSEA kwa ajli ya michuano ya ligi kuu
nchini UINGEREZA inayoendelea kwa sasa baada ya kujiunga na klabu hiyo mnamo
mwaka 2010 akitokea Liverpool ambapo alifundisha kwa muda wa mika 6 iliyopita.
Aliendelea kusema kuwa , japo yeye ni mwenyeji wa
LIVERPOOL na familia yake kuishii jijini
humo, hilo kamwe halimsumbui na anachotaka ni pointi tatu muhimu ili aendelee
kubakia katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi kuu nchini humo.
BARCELONA.

XAVI amesema
kuwa, CASILLAS ambaye amekuwa
akisugua benchi mara nyingi kwenye klabu ya MADRID, ameelezea
hisia zake kwake na kusema kuwa hafurahishwi
na kitendo hicho na muda wowote atakusanya kila kilicho chake tayari
kutafuta klabu nyingine ya kuchezea.
Lakini , kwa upande wake mlinda mlango nambari moja wa FC
BARCELONA, VALDES amesema mkataba wake na klabu hiyo unamalizika mwakani
na hayuko tayari kuongeza mkakataba mwingine, hivyo atakuwa huru kuhamia klabu
nyingine itakayo muhitaji.
Akiongea na shirika la habari la EL MUNDO
DEPORTIVO, XAVI aliongeza kuwa yeye binafsi hafurahishwi na kitendo cha
CASILLAS kusugua benchi, lakini pia hana imani kama mlinda lango huyo atajiunga na
WAKATALUNYA msimu ujao wa usajili.
FC WIGAN

Martinez amesisitiza kuwa upande wao ulistahili kujiongezea point
kwenye mchezo huo kwa kuwa walitengeneza nafasi nyingi za kufunga magoli,
lakini wamejikuta wakiwa na wakati mgumu baada ya kupigwa goli moja na la ushindi
mapema dakika ya 7 ya kipindi cha kwanza
kupitia mshambuliaji matata CARLOZ TEVEZ.
Lakini pia klabu ya WIGAN maarufu kama WANALATIC, licha ya kujihakikishia tiketi
ya kucheza fainalai ya FA na MANCHESTER
CITY siku chache zijazo, klabu hiyo inashikilia nafaisi ya 18 katika msimamo wa
ligi kuu nchini UINGEREZA ambapo ni miongoni mwa timu zilizoko kweye mstari hatari wa kushuka daraja kwenye ligi
kuu hiyo.
FRANCIS KIVUYO BARAKA
MPENJA www.
Goal .com 4.30 pm
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment