Matokeo ya baadhi ya mechi za leo, Ulaya.
ARSENAL 1 Vs 1 MANCHESTER UNITED  



Van Persie grabs point on Arsenal return
RVP akifanya mambo mbele ya beki wa Arsenal.

T.Walcoti alifumania nyavu ya Man U mapema dakika ya 2 ya mchezo, huku V.Persie akifunga goli la kusawazisha mnamo dakika ya 44 ya mchezo. Mchezo ulikuwa wa vuta ni kuvute, timu zote zilonekana kutumia hadi kupelekea promotion ya kadi ya manjano kwa wachezaji nane!


                             CHELSEA 2- 0 SWANSEA
 Lampard on target in Chelsea win  
kulia ni Oscar.
Magoli ya  Chelsea ama wazee wa Darajani yalifungwa na Oscar mnamo dakika ya 44 ya mchezo huku F.Lampard akisukumiza bao la pili kwa mkwaju wa penalti

Francis                                                               www.goal.com        (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top