Baada ya kambi ya siku 20 huko visiwani Pemba, wagosi wa ndima COSTAL UNION ya jijini
Tanga sasa leo hii imerudisha majeshi yake nyumbani Tanga tayari kuendelea na ratiba zingine zamwisho kabla ya kivumbi cha ligi kuu Tanzania Bara kuanza pale Septemba 20 mwaka huu.
Timu ni mashabiki: hao ni baadhi ya mashabiki na wadau wa Costal waliojitokeza leo kuipoke timu hiyo ikitokea visiwani Zanzibar kwa njia ya ndege. Aliyoko mbele katika ni askari polisi akiongoza msafara huo.
Wapenzi wa COSTAL UNION walijitokeza kwa wingi wao kulaki timu yao wakati ilipofika katika uwanja wa ndege jijini hapo. Hizi ni picha mbalimbali zinazo onyosha wadau Cost wakipoke timu yao kwa furaha kubwa.
|
0 comments:
Post a Comment