Arsenal have topped the Injury League in 8 of the last 13 seasons.

Baadhi ya sababu zilizo tajwa kusababisha klabu ya Arsenal kuwa na rekodi ya juu ya majeruhi katika ligi kuu ya nchini Uingerza ni; Wachezaji kupenda kukaa na mpira kwa muda mrefu (possessing the ball for a long time), wachezaji kutopata muda wa kutosha wa kupumzika baada ya majeraha, kukosekana kwa wataalamu waliobobea katika  kuchunguza afya za wachezaji klabuni hapo.
Arsenal's 892 injuries in comparison to the other most frequently injured clubs. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top