![]() |
Rio Ferdinand. |
Inadaiwa Ferdinand 35 alitumia neno 'SKET' katika moja ya jumbe zake kwenye mtandao wake wa twitter mwezi Septemba 2014 wakati akijibizana na baadhi ya watu waliokuwa wakihoji msaada wake katika klabu ya QPR.
"SKET , ni neo lisilokuwa rasmi la kimarekani linaloaminika kuwa ni la kimadharau/kiubaguzi wa kijinsia (wanawake) " FA ilisema.
Matusi na aina yoyote ya ubaguzi ni miongoni mwa mambo yanayopingwa sana katika tasnia ya mpira wa miguu.
0 comments:
Post a Comment