![]() |
Rio Ferdinand. |
Inadaiwa, Ferdinand 35 aliandikia hivyo Sep 1, 2014 baada ya kutumiwa ujume kwenye mtandao wake wa twtter uliosomeka "may be QPR needs to sign a central back" (tafsiri rahisi: QPR wanahitaji kumsajili beki wa kati).
FA imempatia beki huyo muda hadi Oct 21 mwaka huu kujibu tuhuma hizo zinazomkabili.
0 comments:
Post a Comment