Wenger: Barcelona wamenitosa.

Washika bunduki wa London Arsenal wapoteza matumani ya kumpata mshambuliaji DAVID VILLA kutoka Hispania baada ya bosi wake kudhibitisha kuwa hawako tayari kumuuza mshambuliaji huyo.

 
 
 
BALOTELI: NAKWENDA  AC MILAN.


  

                  Baloteli.

Hii itakuwa ni fursa muhimu sana TELI kurudi nyumbani Italy na kucheza ktk klabu ya Milan,”  meneja wa City  Roberto Mancini alisema jana . “ Itakuwa ni nafasi nzuri ya yeye kukaa na familia yake na kuichezea Milan. Ninafikiri ataendelea kuwa bora na ninaaminai anaweza kuwa mchezaji bora wa dunia.Kocha wake aliendelea kusema.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top