MANCHESTER CITY.
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya
Manchester city
![]() |
| Niall Quinn. |
NIALL QUINN, mwenye uri
wa miaka 46 leo kupitia mtandao wake wa TWITER amesema kwamba kukosekana kwa wachezaji
kama EDEN HAZARD na ROBIN VAN PERSIE ambao city ilishindwa kuwasajili kumesababisha
klabu hiyo kucheze kwa taabu, hivyo viongozi wasirudiemakosa kama hayo.
QUINN ameongeza kuwa licha ya Man City kupata
pointi 3 kwa kuwafunga watani wao wa jadi mabao 2-1 katika uwanja wa Old
Traford, ni lazima klabu hiyo ifanye usajili makini msimu ujao kama inahitaji
kuingia soka la ushindani zaidi.
Katika mchezo wa jana ligi kuu soka
nchini Uingereza bao la kwanza la city lilifungwa na nyota wake James Milner,
huku la pili likitiwa kambani na Sergio Kun Aguero akitoke benchi.
Bao pekeee kwa United waliokuwa
mbele ya umati wa mashabiki wake lilifungwa na beki PhIL Jones.
PSG.
![]() |
| Thiago Silva. |
SILVER RAIA wa BRAZILI alisajiliwa na klabu ya PSG mapema msimu
uliopita baada ya FC BARCELONA kushindwa kuchangamkia dili hilo.
Lakini kwa mara nyingine tena FC BARCELONA maarufu kama WAKATA LUNYA wamekuwa wakihusishwa na tetesi za kutaka kumsajili mwanasoka kutokana na kiwango kizuri alichoonesha katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya kati ya PSG na Barca na mtanange huo kumalizika kwa sare ya 2-2.
CHELSEA
![]() |
| Frank James Lampard |
Kiungo huyo ambaye mkataba wake na klabu ya CHELSEA
unaisha mwishoni mwa msimu huu, hakushiriki kwenye upigaji wa picha za
Frank James Lampard.matangazo ya ADIDAS KIT kwa madai kuwa
picha hizo hazina umuhimu wowote.
KUTNER
ameendelea kusema kuwa kamekuwepo na taarifa za zoezi hilo ambapo
wachezaji kama FERNANDO TORRES na JUAN MATA wameonekana wakipiga picha, lakini Lampad
ameshindwa kuhudhuria kutokana na majukumu ya kifamilia.
LAMPARD
mwenye umri wa miaka 34 amekuwa akihusishwa na tetesi za kujiunga na vilabu
kama vile; LA GALAXY , PARIS SAINT GERMAIN
na JUVENTUS kabla ya
CHELSEA kumuongezea mkataba wake unaoisha mwishoni mwa msimu huu.
Kivuyo Francis Baraka Mpenja www.goal.com
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});



0 comments:
Post a Comment