CHELSEA
Baada ya klabu ya CHELSEA hapo jana  kutwa ubingwa Ligi barani ulaya dhidi ya klabu ya Benfica, kocha wa muda klabuni hapo Rafael Benitez amesema amefuahishwa sana na kazi iliyofanywa na vijana  wake dimbani Amsterdam kwani imempa heshima kubwa katika klabu hiyo.

Mission accomplished? Benitez proud of Chelsea tenure as Torres targets long stay
Rafael Benitez
Katika mtanange huo ambao ulikuwa wa pata shika nguo kuchanika, klabu ya Chelsea ndio ilikuwa ya kwanza kufumania nyavu ya mwenzake mnamo dakika ya 60 ya chezo, huku mshambuliaji hatari Oscar Cardozo akisawazishia Benfica goli hilo kwa njia ya penalt mnamo dakika ya 68 lakini baadaye Baranslav Ivanovic akaifungia Chelsea goli la pili na la ushindi dakia ya 93 ya mchezo huo.

Fernando Torres
Fernando Torres akishingilia goli la kwanza

Fernando Torres and Ezequiel Garay - Chelsea v SL Benfica
Kushoto ni  Torres akikabiliana na  Oscar Cardozo.
Hata hivyo kwa upande wake  kocha wa klabu ya Benfika Jorge Jesus akiongea na waandishi wa habari mara baadayaya kipenga cha mwisho alisema kuwa timu yake ilikuwa na kila sababu ya kushinda katka mchezo huo kwani timu yake ilicheza vizuri lakini bahati haikuwa yao. 
Fernando Torres and Ezequiel Garay - Chelsea v SL Benfica
kaazi kwelikweli.

MANCHESTER UNITED.

Kocha wa mabingwa wapya ligi kuu nchini INGEREZA Manchester United, Sir Alex Furguson leo  kupitia mtandao wa klanu hiyo amesema anaimani kubwa na kocha mtaraji wa klabu hiyo DAVIDI MOYES anyefundisha katka klabu ya Evaton kwa sasa.


Sir Alex Ferguson: I have every faith in Moyes
Kushoto, David Moyes na Alex Furguson
Akiongea kwenye sherehe  za mwisho wa msimu klabuni hapo, Furguson amesisitiza kuwa kocha mtarajiwa klabni hapo anaamini taweza kufanya vizuri zaidi  kwani ni mtu mwenye maadili ya  kazi lakini pia ni mtu wa kujituma pale anapokuwa kazini.

Furguson alikwenda mbali kwa kusema kuwa kazi aliyoifanya Moyes katika klabu ya Evarton ni kubwa sana kwani ameweza kuiboresha klabu hiyo kwa muda wa miaka 11 licha ya ukata wa pesa unaoandama klabu hiyo.


JUVENTUS.
Kocha mkuu wa klabu ya Juventus  AntonioConte, leo kupita mtandao wa klabu hiyo amedhibitisha kuendelea kukinoa klabu iyo kwa msimu mwingine uajo baada ya kuwawezesha kuchukua ubingwa wa ligi kuu nchini Italy maarufu kama seria A.

Conte: I will stay at Juventus
Antonio Conte
 Conte ambaye alinza kuifundisha klabu Juventus tangu mwaka 2011 amesema ataendelea kukinoa kilabu hiyo kwa misimu mingine ijayo licha kuwepo na tetesi kuwa klabu ya Real Madrid pamoja na PSG kuonesha nia ya kutaka kumsajili mwishoni mwa msimu huu.
Lakini pia  rais wa klabu hiyo Andrea Anelli ametilia mkazo kwa usema kuwa Antonio Conte ni mtu muhimu sana katika klabu ya Juventus  hivyo msaada wake bado unahitajika kwa kiasi kikubwa.



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top