![]() |
kushoto, Eden Hazard na Rafael Benitez |
Benitez: Hazard nje, Terry ndani. Na Francis kivuyo kwa uwezo wa Goal.com
Rafael Benitez amedhibitisha Eden Hazard kutokuwepo kwenye kikosi kitakacho cheza fainali ya Europa League dhidi ya Benfica leo usiku, huku nafasi ikichukuliwa na John Terry.
Benitez ameongeza kuwa Meneja wa klabu ya Benifica, Jorge Jesus ni kocha mwenye uzoefu wa hali ya juu hivyo timu yake siyo ya kuibeza hata kidogo.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment