Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Brazil , Ronaldo amesema kwa sasa mlinda lango wa klabu ya Real Madrid, Iker Caillas ana kibarua kigumu sana kufuatia timu hiyo kuwa na goli kipa mwingine mzuri sana (Diego Lopez)
Ronaldo |
Wasiwasi huo unakuja baada ya Casillas (32) kuendelea kusugua bench kama ilivyo kuwa kwa msimu uliopita wakati klabu hiyo ikiwa chini kocha Jose Mourinho.
Casillas |
0 comments:
Post a Comment