Mshmbuliaji wa klabu ya Arsenal, Aaron Ramsey  ameibuka mchezaji bora wa wa mwezi (September) katika ligi kuu ya Uingereza huku pia kocha wake, Asene Wenger akifanikiwa kushinda tunzo ya meneja bora wa mwezi (September).
 
Ramsey and Wenger win Player and Manager of the Month
Kutoka kushoto ni Ramsey & Wenger wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa tunzo hizo.
Ramsey amefanikiwa kuifungia klabu yake magoli manne katika mechi mbalimbali mwezi uliopita ikiwemo magoli mawili ya ugenini dhidi ya Sunderland  na mengine mawili dhidi ya Stoke City na Swansea
 
Hivi karibuni, Wenger,  ameipeleka timu yake kileleni mwa ligi kwa kushinda michezo minne mfululizo ikiwemo ushidi wa 1-0 dhidi ya  wapinzani wao wakubwa Tottenham.

Wikiendi ijayo (Oct 19), Arsenal watakipiga dhidi ya Norwich mara baada ya likizo.
 
Chanzo: Goal.com
 
 
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top