![]() |
Kushoto ni mchezaji wa Villareal, Jonathan Pereira akijaribu kuondoa nje ya uwanja chupa hiyo yenye gesi kwa kupiga teke. |

Mchezo huo uliendelea tena baada ya kusimamishwa kwa nusu saa, ambapo Celta Vigo waliweza kuongeza goli la pili mmona dakika ya 90 kupitia mshambuliaji Nolito, goli la kwanza la Vigo lilipatikana dakika ya 83 kupitia mshambuliaji Fabian Orellana.Mashabiki wakikimbia nje ya uwanja kwa sababu ya moshi mkali
Magoli hayo mawili ya Celta Vigo dhidi ya Villarreal inaifanya Vigo kuwa katika nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi kuu nchini Hispania ikiwa na pointi 29 huku Villareal wao wakiwa katika nafasi ya tano wakiwa na pointi 40 kibindoni
Credits; Daily mail (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment