Ni dakika ya18 tunashuhudia mlinda lando nambari moja wa mwakilishi pekee wa nchi ya Uingereza katka michuano ya klabu bingwa barani Ulaya Chelsea akitolewa nje ya dimba baada ya kupata jera la bega la mkono wa kushoto katika mchezo wao dhidi ya Atletical de Madrid dimbani Vicent Calderon, mchezo ambao ulimalizika kwa timu zote kutoka suluu.

Peter Cech alipata jeraha hilo baada ya kuruku katika harakati za kuokoa mpira uliokuwa uningia kambani na kujikuta akidondokea bega lake la kulia, kwa sababu ya uzito wa mwili bega lake lilipata kuteguga na hatimaye kutolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Schwarzer ambaye kiukweli alionyesha uwezo wa hali ya juu.

Bad news for Chelsea Football Club: GK  Petr Čech is out for the remainder of the season after suffering a dislocated shoulder in Tuesday's 0-0 draw UEFA Champions League semifinal at Atlético de Madrid. 

http://es.pn/1f11yVh
Peter Cech akitolewa nje baada ya kuumia.
Kwa mujibu wa taarifa za klabu ya Chelsea kupitia gazeti la ESPN ni kwamba Cech hataweza kurudi tena dimbani hadi msimu huu unakwisha.

Hata hivyo mchezo huo ulifaana sana kwani timu zote zilijaribu kucheza kwa nguvu na ufundi wa hali ya juu japo Chelsea waliruhusu kushambuliwa zaidi kwa nyakati tofauti.



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top