Cheki  Manchester United walivyokuwa wakimchukua Angel Dimaria  kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Uingereza jana usiku kuelekea makao makuu ya klabu hiyo Old trafford  tayari kuanza kufanyiwa vipimo vya utimamu wa afya ili ajiunge na klabu hiyo.

Spotted: Di Maria is on the left hand side of the back seat on his way into United's training ground
Hakuna siri duniani: Angalia jinsi Dimaria (kushoto nyuma ya dereva ) alivyonaswa na kamera ya paparazi jana usiku wakiwa njiani kuelekea makao makuu ya Man U, Old trafford. 

Mashetani Wekundu wamefanikiwa kunasa sahihi ya winga huyo bora kabisa wa Real Madrid kwa ada ya paundi milioni 59.7 bei ambayo itamfanya Dimaria kuwa katika orodha ya wachezaji wa tano  kuwahi kununuliwa kwa bei ya juu duniani. Wengine ni Bale, Ronaldo, Suarezn na Rodriguez.

Kama Dimaria hatakutwa na hitilafu yoyote ya kiafya, basi anaweza akala kandarasi ya miaka mitano pale Oldtrafford. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top