![]() |
| Adebayo (kushoto) alikuwa mchezaji wa Manchester City kwa misimu iliyopita ya 2009 na 2012. |
Wakati wakielekea katika vyumba vya kubadilisha ngua dimbanini Ethad, jana Adebayo alibahatika kukutana na baadhi wachezaji wenzake wa zamani wa Man City katika moja ya korido za vyumba hivyo vya kubadilishia nguo ambapo walianza kusalimiana kwa mitindo tofauti tofauti ikiwo "saluti"Man City waliweza jana kutumia vyema uwanja wao vizuri baada ya kumtafuna Tottenham Hospurs kwa magoli 4-1 na kuendelea kuwa katika nafasi ya pili alama tano nyuma ya vinara wa ligi hiyo Chelsea.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:
Post a Comment