Kocha wa klabu ya EVATON  DAVID MOYES, mapema jana  kupitia mtandao wa klabu machester united alitangazwa kuwa mridhi wa mikoba ya SIR ALEX FURGUS mwishoni mwa wiki hii  baada ya kikongwe huyo  kutanga kustaafu kazi ya ukocha katika klabu ya MANCHESTER UNITED  mwishoni mwa msimu huu
Sir Alex Furguson.
Furguson ambaye amedumu kwa muda wa miaka 27 katika klabu ya MANCHESTER UNITED lakini pia akifanikiwa kutwaa  mataji 20 tofouti akiwa na klabu hiyo,   amesema miongoni mwa sababu zinazomfanya kustaafu kazi yake ya ukocha ni pamoja na maumivu ya nyonga ambayo yamekuwa yakimuandama mara kwa mara.
Maamuzi ya meneja  SIR AL FURGUSON  kustaafu  ukocha,  yatatiwa sahihi baadaye na bodi ya klabu ya Manchester United,  inayojumuisha familia ya GLAZER  ambayo ndiyo  mmiliki timu hiyo na mtendaji mkuu klabuni hapo, DAVID GILL

Manchester United title parade will kick off at Old Trafford
Manchester United wakishangilia ushindi   wa ligi kuu 2012/2013

Support: David Moyes
Mridhi wa mikoba ya Furguson , David Moyes.
Tunakushukuru Babu kwa hapa ulipo tufikisha, tunakutakia mapumziko mema na Mungu awe nawe daima! 

Francis kivuyo                                                       www.goal.com

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top