Wakati Jose Morinho ( the special one ) akiwa na tiketi ya ndege mfukoni tayari kuruka kuelekea jijini Londonn kunako klabu yake ya zamani ya Chelsea, mtaalam huyu amefanikiwa kuibuka na ushindi wa magoli 4-2 dhidi ya klabu ya Osasuna jana jumamosi kwenye mtanange uliopigwa dimbani Santiago Bernabeu.
José Mourinho, Real Madrid
Jose Morinho

Magoli ya Chelsea yamefungwa kwa nyakati tofauti na, G. Higuan manamo dakika ya 35, M.Esien dakika ya 38, K. Benzema dakika ya 69 huku la mwisho likifungwa na J.M.Callejon dakika ya 87. Kwa upande wa Osasuna magoli yake yamefungwa na, R.T. Morales mnamo dakika ya 52 huku la pili likifungwa na A.Cejudo dakika ya 63. Mechi ya leo ni muhimu sana kwa Morinho kwani imemfanya kuondoka Santiago Bernabeu akiwa na furaha kubwa.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top