Nazipongeza nchi za Afrika Mashariki kwa kugundua hili na kuamua kujiunga pamoja na kuunda Jumuia ya Afrika Mashariki.
Hivi sasa Baada ya jumuia hii kudumu kwa muda mrefu ikiwa imeundwa na nchi ya Tanzania, Kenya na Uganda, kwa sasa jumuia hii imefanikiwa kupanua wigo wake zaidi baada ya nchi ya Rwanda na Burundi kujiunga.
Hata hivyo; licha jumuia hii kuoneka kuwa na manufaa mengi kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki, jumuia hii inakabiliwa sana na chngamoto ya RUSHWA amabayo imekuwa gumzo kwa nchi wanchama wa jumuia hii
Kwa mujibu wa gazeti la New Times la Rwanda, Uganda na Tanzania zimeonekana kuwa na kiwango kikubwa cha RUSHWA ukilinganisha na Rwanda, Kenya na Burundi kwa mujibu wa uchunguzi ulifanywa mwaka 2012.
![]() |
Chati ikionyesha kiwango cha rushwa kwa nchi wanachama wa Afrika Mashariki. |
0 comments:
Post a Comment