![]() |
Kutoka kushoto ni Sepp Blatter akisalimiana na Hassan Rouhani |
Rouhani alisema kuwa michezo hudumisha amani na umoja miongoni mwa nchi mbalimbali.
Hata hivyo nchi ya Iran imefanikiwa kunyakuwa ubingwa wa kombe la Asia mfululizo mwaka 1968, 1972 na 1976 huku akiwa mwenyeji wa michuana ya mwaka 1968 na 1976
Hadi sasa jumla ya nchi nane zimepeleka maombi ya kuanda faina hizo 2019 ikiwemo nchi ya Bahrain, China, Kuwait, Oman, Saudi Arabia, Thailand huku United Arab Emirates ikiungo mkono Iran.
Michuano ijayo ya 2015 inatrajiwa kufanyika nchini Australia.
Chanzo: The daily Telegraph.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment