Goli la kwanza na la ushindi laSantiago lilipachikwa kambani na mshambuliaji OSSY mnamo dakika ya 58 ya kipindi cha pili ya mtanange huo ambapo OSSY aliachia shuti kali lilomshinda mlinda lango wa timu ya ABC na hatimaye kuifanya timu yake kujinyakulia point tatu muhimu kwa siku ya leo.
NA SHUGHULI NZIMA DIMBANI KWA SIKU YA LEO ILIKUWA HIVI............
>>>CHEKI MCHANGA UNAVYO TIFUKA......UTADHANI NI 'BEACH SOKA!'
>>>>HIYO ILIKUWA NI MIONGONI MWA 'CROSS' HATARI SANA KATIKA LANGO A 'ABC' Fc.
Baadhi ya video za mechi hii zipo kwenye blogu hii......ingia katika page ya VIDEOS kuzitazama
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment