Hadi mtanange huo unafika dakika 90, ABC fc walikuwa wanaongoza kwa goli moja lilotupiwa kimyani na mshambuliaji Filemon Nyange mnamo dakika ya 30 ya mchezo huo, goli hilo lilifanya ABC fc na Santiago Fc kulingana kwa kila kitu ( magoli & points) na hivyo timu zote kulazimika kwenda matuta
Baada ya timu zote kwenda kwenye matuta, ABC fc walifanikiwa kuapata penati 7 dhidi ya Santigo waliopata penati 6 baada ya penati yao moja kutolewa nje na mlinda lango wa ABC kiufundi kabisa.
Pichani ni vijana wa Santigo Fc wakito nje dimba mara baada ya kipindi cha kwanza cha mtanange huo huko nyuso zao zikikosa furaha baada kuchapwa goli moja . |
Muhimu; video ya penati ya ushindi kwa upande wa ABC fc, na ile waliokosa Santigo ziko kwenye page ya VIDEOS........ingia kujitazamia au ku-download.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment