Mtanange huo ambao ulikuwa umetawaliwa na ufundi na nguvu nyingi kutoka kwa timu zote, umefika tamati kwa timu ya MASJID kuichapa TEXAS FC magoli 3-1
Pichani ni kikosi cha Masjid kilichomchapa mtu 3-1 |
Hadi timu zote zinakwenda mapumziko baada ya kipinndii cha kwanza kuisha, MASJID FC walikuwa wanaongoza mchezo kwa magoli mawili yaliyosukumizwa kimyani na MUBA pamoja naye CHRISTOPHA kwa nyakati tofauti kabla ya kupata goli la tatu mnamo dakika ya 46 ya mchezo huo.
Pichani ni kikosi cha TEXAS
Nao TEXAS hawakukata tamaa kabisa licha ya kupigwa magoli mawili kipindi cha pili; walianza kujipanga vizuri baada ya ushauri mkubwa kutoka katika benchi la ufundi na hatimaye kuweza kufunga goli moja la kufutia machozi mnao dakika ya 49 ya mchezo huo kupitia mshambuliaji, DIKY KYUT.
EXCLUSIVE; MATOKEO YA MECHI ZA LEO, MAJUU.
Everton 2-1 Southampton
Newcastle united 0-1 Arsenal
Chelsea 2-1 Liverpool
Tottenham hotspurs 3-0Stock City
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment