Naibu katibu mkuu wa zamani wa FIFA, bwana Jerome Champagne ametangaza kugombea nafasi ya Uraisi wa FIFA katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika  mwaka 2015

Jerome  Champagne mwenye umri wa miaka 55   alijiunga  na  shirikisho la mpira wa miguu FIFA  mwaka 1999 na kufanikiwa kufanya kazi na rais wa sasa wa FIFA ,Bw.  Sepp Batter akiwa kama naibu katibu mkuu tangu mwaka 2002 hadi mwaka 2005 na baadaye  kustaafu nafasi hiyo akabaki kama  mshauri wa kimataifa wa masuala ya soka

Champagne to challenge Blatter for Fifa presidency
Jerome Champagne

Aidha, Champagne ameendelea kusisitiza kuwa, kwa muda wa miaka 11 aliyo huudumu ndani ya FIFA amebahatika kujifunza vitu vingi  kutoka kwa watu wenye uwezo mkubwa katika masuala ya soka hivyo anaamini yeye ni mtu sahihi kabisa kuridhi mikoba ya Blatter.

NB: Blatter  alipata urais wa FIFA mwaka 1998 kutoka kwa Joao Havelange……….ametangaza kugombea kwa mara nyingine tena 2015


chanzo: daily mirror
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top