![]() |
Pichani ni wafankazi wa shirika la reli jijini London wakiwa katika mgomo. |
Klabu ya Fulhamu kwa upande wao wanadai kuwa mgomo huo utawafanya viongozi wengi wa klabu hiyo wanaotegemea usafiri wa treni kushindwa kufika uwanjani, lakini wamesisitiza kuwa hadi kufika saa 12:00pm (Juma nne) leo mchana kwa saa za Afrika Mashariki watakuwa wamejua kama mchezo huo utachezwa ama hautachezwa.

Makao makuu ya klabu ya Fulham
Kwa mujibu Website ya THE GUNNERS, wao wanaombea mchezo huo uchezwe kwani isipo chezwa kesho, wapinzani wao 'Liverpool' ambao juzi waliwafanyia kitu kibaya cha magoli matano kwa moja watakuwa wamepata muda mwingi wa kupumzika. Arsenal wanatarajia kucheza na Liverpool jumapili ijayo.
Credits; Daily mail. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
0 comments:
Post a Comment