Louis van Gaal a.k.a  Mr. 3:5:2  ameanza rasmi mchujo wa kikosi cha kuelekea msimu ujao ambapo wanandinga 5 wamejikuta matatani.

Akifanya mahojiano na wachezaji hao katika uwanja wao wa mazoezi uliopo Carrington, Van Gaal  aliweka wazi kuwa; beki wa kulia Rafael Da Silver, Javier Hernandez, Marouane Fellaini, Wilfried Zaha, pamoja naye winga Luis  Nani ndiyo wachezaji watakaofungashiwa virago muda wowote ili kutoa nafasi ya wachezaji wapya wanao hitajika Oldtraford kwa ajili msimu huu unao anza Augost 16, 2014, wakati huohuo LVG amemuhakikishishia Shinji Kagawa nafasi katika kikosi chake.

Heading for the exit: Javier Hernandez has been told he can leave Manchester United
Javie Hernandez
Nani of Manchester United featured against Inter Milan in pre-season
Rafael


Rafael played for United in pre-season against LA Galaxy
Luis Nani.
Marouane Fellaini will be sold just a year after joining United for £27million
Marouane Fellahini

Wilfred Zaha.

Endapo mabadiliko hayatatokea, basi Shinji Kagawa atakuwa anasaidia na Mata, maana yake atakuwa anasikilizia benji.









(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top