Mshambuliaji Barcelona's Luis Suarez anaweza akawa miongoni mwa sehemu ya kikosi cha Barcelona kitakacho ikiabili Real Madrid  Octoba 25, mwaka huu ikiwa ni siku moja baada ya si baada ya adhabu yake ya kumng’ata mchezaji wa Italy Giorgio Chiellini kumalizika.

Permission: Luis Suarez will still be allowed to make his La Liga debut in the El Clasico against Real Madrid
Ni kazi kwake Luis Enrique kuamua kumtumia Suarez katika mchezo wa El Clasical, mwezi Octoba 25 pale dimbani Bernabeu
Suarez alijikuta katika wakati mgumu baada ya kufungiwa kucheza michezo 9 katika timu yake ya taifa na kufungiwa kucheza mashindano yoyote yanayotambuliwa na shrikisho la kandanda la dunia FIFA kwa muda wa miezi minne tangu June 29, mwaka huu.

Na kwa mujibu wa mahakama ya usulihishi wa soka, adhabu hiyo inamalizika Octoba 24, mwaka huu kwa hiyo ni maamuzi yake kocha wa Barcelona, Luis Enrique kuamua kumtumia mchezaji huyo katika mchezo wao dhidi ya Real Madrid  Octba 25 mwaka huu.

(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

0 comments:

Post a Comment

 
Top